Siku ya kupatwa-patwa
- Nov 7, 2016
- 1 min read
Leo tarehe 1 nimeitisha kikao cha familia ukweni, malalamiko yangu ni uonevu ambao mke wangu amekuwa akinifanyia, sasa leo amevuka mipaka kabisa baada ya kunipa adhabu nisiyostahili kabisa eti kisa kanipata na mwanamke mwingine kwenye nyumba ya kulala wageni...
Tazama video nzima hapa chini kisha uniambie nilikuwa na makosa gani jamani huu si uonevu huu???












Comments